ALHAJ DR.MWINYI AMESALI PAMOJA NA WAUMINI WA MASJID SUNNA KIKWAJUNI
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na waumini wa madhehebu mbali mbali ya dini na kusema tofauti ziliopo kati yao haziwezi kuvunja misingi ya Dini. Alhaj Dk. Mwinyi amesema hayo katika salamu alizotoa kwa waumini walioshiriki Ibada ya sala ya Ijumaa, iliofanyika Masjid
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed